https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, July 27, 2014

Pata picha mbili kali Rais Kikwete, Waziri Pinda walipokwenda kufuturu kwa Makamu wa Rais, Dkt Gharib Bilal

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman, wakiongozana na mwenyeji wao Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilali, wakati wakiwasili nyumbani kwa Makamu kwa ajili ya kushiriki katika halfa ya futari waliyoandaliwa na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali katika makazi yake Oysterbay jijini Dar es salaam juzi Ijumaa jioni Julai 25, 2014. Picha na OMR

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...