https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, April 05, 2015

Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha NRA, Mheshimiwa Rashid Mtuta, afariki Dunia

MWENYEKITI wa Chama cha siasa cha NRA, Rashid Mtuta, amefariki Dunia ghafla usiku wa kuamikia April 5, 2015 katika Hospitali ya wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam. 

Enzi za uhai wa mheshimiwa Rashid Mtuta, aliyesimama akichangia Bungeni Dodoma mwaka jana, katika vikao vya Bunge la Katiba. Picha kwa hisani ya Mitandao.

Kwa mujibu wa taarifa fupi iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Hassan Kisabya, ilisema kuwa mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Kilungule, Mbagala, jijini Dar es Salaam. 

Marehemu aliwahi kufaanya shughuli nyingi za ujenzi wa Taifa, ikiwa ni pamoja na kuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba (BMK), lililofanyika mwaka jana.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...