https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, April 03, 2015

Mashabiki watano wa Simba SC wafariki ajalini Morogoro

MAJONZI. Klabu ya Simba imepata pigo baada ya kudaiwa kuwa mashabiki wake watano wamefariki Dunia kufuatia ajali waliyopata katika eneo kati ya Mkambala na Mdaula mkoani Morogoro wakati wanaelekea Shinyanga.
Habari kutoka kwenye vyanzo vyetu vya habari zinasema kwamba ajali hiyo ni baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutumbukia mtaroni. Taarifa zaidi zitaendelea kutafutwa juu ya chanzo cha ajali hiyo. Pichani ni gar hilo hilo lililotumbukia mtaroni.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...