https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, June 26, 2014

Yanga waula, Marcio Maximo atua Dar na kulakiwa na amshabiki wa Yanga


Marcio Maximo wakati anawasili Uwanja wa Ndege kwa ajili ya kuingia mkataba na klabu ya Yanga.
KOCHA wa zamani wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Marcimo Maximo, amewasili nchini leo kwa ajili ya kuwa kocha mpya wa Yanga.

Maximo alitua katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Julius Nyerere saa nane mchana kwa Shirika la Ndege ya Afrika Kusini, akiwa  na kocha msaidizi wake, Leonaado Neiva na kulakiwa na mashabiki wa Yanga waliojitokeza kumpokea.

Mara baada ya kuwasili Maximo  alipokelewa na Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu na Ofisa habari wa klabu hiyo,  Baraka Kizuguto.

Kocha huyo ilimchukua muda wa nusu saa kutoka nje kufuatia kukamilisha taratibu ya Uhamiaji na kuvalisha stafu ya Yanga.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...