https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, June 27, 2014

TANGAZO: HANDENI KWETU FOUNDATION

Taasisi ya Handeni Kwetu inapenda kukutangazia kuwa fomu tayari zimefika wilayani Handeni, mkoani Tanga. Kuanzia leo Juni 27, yoyote anayependa kuchukua fomu hizo anashauriwa kufika ofisini, mtaa wa Mdoe, nyumba namba 10061, wilayani Handeni, mkoani Tanga.
Aidha unashauriwa pia kuchukua fomu sambamba na Katiba kwa ajili ya kuipitia kabla ya kuamua kujiunga kuwa mwanachama. Taasisi inapenda kuwasisitiza Watanzania wote kujitokeza katika zoezi la uchukuaji fomu ili wafanikishe mustakabali wa taasisi na maendeleo ya Handeni na Taifa kwa ujumla.

Fika ofisini au piaga simu +255 684460116 au +255 762 971062. Namba binafsi za viongozi ni kwa Handeni ni mwenyekiti +255 653433245 na Katibu wake ni +255 718372741.
Kwa Dar es Salaam unaweza kuipata fomu hii kupitia kwa Sanura Ally, namba yake ni 0713 766017, Yasin Mohamed 0713420242 au kwa Kambi Mbwana......

Imetolewa na Kambi Mbwana, Msemaji Mkuu
P.o Box 79, Handeni,
Email ya taasisi: handeni.foundation@gmail.com
Email Binafsi: kambimbwana@gmail.com
Simu Binafsi: +255 712053949

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...