https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Monday, November 30, 2015

Mchumi na Mwenyekiti wa zamani wa Chama Cha Wananchi CUF amtembelea Rais Magufuli, ampa tano kuukwaa urais

Mwenyekiti wa zamani wa wa Chama Cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba amemtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli na kumpongeza kwa Hotuba nzuri. Pia Prof Lipumba amesifu na kuunga mkono Juhudi za Mhe Rais katika kupambana na wakwepa kodi na wahujumu uchumi.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...