https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, November 27, 2015

BREAKING NEWS: Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Rished Bade na kumteua Philliph Mpango kukaimu nafasi yake

MOTO umeendelea kuwaka katika serikali ya awamu ya tano, baada ya rais Dkt. John Pombe Magufuli kumsimamisha kazi Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Rished Bade na kumteua Philiph Mpango kukaimu nafasi yake. 

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...