https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, November 27, 2015

Makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 80 yapotea bandarini, serikali yaamuru kukamatwa kwa maofisa kadhaa wa bandari, yazuia hati zao za kusafiria

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAHARUKI imetokea Bandarini baada ya kugundulika kuwa makontena 349 yamepotea na kuisababishia hasara serikali kwa zaidi ya Sh Bilioni 80. Waziri Mkuu Mh Kassim Majaliwa pichani, leo ameamuru kukamatwa kwa maafisa kadhaa wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na wengine kufukuzwa kazi kutokana na kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini na kukuta uozo huo ulioitia hasara serikali na aibu kubwa.
Maafisa hao wametakiwa kusalimisha hati zao za kusafiria ikiwa ni kitendo cha kibaya cha kutoweka kwa makontena bayo ambayo data za Mamlaka ya Bandari inazo lakini katika mtandao wa TRA hayaonekani.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...