https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, November 19, 2015

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mheshimiwa Kassim Majaliwa

Hatimae kile kitendawili kigumu cha nani atakuwa Waziri Mkuu wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya Tano chini ya Rais, Dr John Pombe Magufuli kimeteguliwa leo baada ya kutangazwa Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu. Jina la Majaliwa halijatarajiwa na wengi kuwa atatangazwa kuwa Waziri Mkuu mpya baada ya Mizengo Pinda aliyestaafu.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...