https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, November 14, 2015

Kongamano la Epowerment Empowerment of Economic Diplomacy in Tanzania lafanyika jijini Dar es Salaam

Kutoka kushoto ni Balozi mstaafu Ahmed Kiwanuka, Nduwayo Mzonya, Hussein Melele, na Rashid Njenga wakiwasikiliza wachangaji mbalimbali katika kongamano hilo lijulikanalo Empowerment of Economic Diplomacy in Tanzania.
Balozi mstafu wa Tanzania Nchini India ambaye pia ni mwalimu katika chuo cha diplomasia Balozi Ahmed Kiwanuka akitoa mhuadhara elo kuhusu namna Tanzania inavyoweza kutekeleza diplomasia ya uchumi kupitia ekta mbalimbali na kwa kutumia makundi mbalimbali.
Allan Kasamala(mwenye shati ya bluu) akiwa na Baadhi ya washiriki walioshiriki kongamano hilo ambalo limeandaliwa na Wanafunzi,wahitimu na marafiki wa chuo cha diplomasia jana katka ukumbi wa chuo hicho  kilichopo kurasini jijini Dar es Salaam ambapo kongamano hilo limeandaliwa na uongozi wa serikali ya wanafunzi wakishirikiana na wahitimu wa Kozi mbalimbali za mwaka wa masomo 2014/2015 wakiongozwa na Simalenga Simon amaye amemaliza PGD MFR 2014/2015.
Washiriki wa kongamano hilo.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...