https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, December 22, 2015

Washindi Kombe la Muungano Zanzibar wakabidhiwa Kombe lao

    
 Mrajisi wa Vyama vya Michezo Zanzibar akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Muungano Kepteni wa Timu ya Uhamiaji Sofia Komba Baada ya timu yao kulinyakuwa Kombe hilo Mwaka huu katika Uwanja wa Gmykhana Zanzibar kwa kuifunga Timu ya JKU ya Zanzibar kwa mabao 38-25 

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...