https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, December 13, 2015

Kozi ya awali ya mafunzo ya zimamoto na uokoaji yafungwa Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji, jijini Dar es Salaam

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakiwa wamebeba mfano wa majeruhi wa ajali, mara baada ya kumuokoa kutoka eneo la tukio wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakionyesha jinsi ya kuzima moto wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya  Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam,mwishoni mwa wiki.
Picha kwa hisani ya Wizara ya Mambo ya Ndani

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...