https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, December 12, 2015

Dj Bon Love alivyochengua jijini Dar es Salaam

Mkali wa magoma hapa nchini na nje, Dj Bon Love akifanya yake katika Usiku wa Heart & Soul uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota kinachobamba zaidi hapa mjini cha Raphsody, ndani ya Jengo la Viva Towers katikati ya Jiji la Dar. Dj Bon Love na maDJ wengine wakali hukutana pamoja kwenye kiota hicho ili kukonga nyoyo za wapenda Burudani kutoka maeneo mbalimbali.Usiku huo uliwezeswa kwa Udhanimi Mkubwa wa Kilaji ya Heineken.

Baadhi ya Wadua wa Burudani wakiwepo DJ. Venture na Mwanalibeneke Haki Ngowi wakiwakilisha katika Usiku wa Heart & Soul.
 
Mmoja wa maDJ wanaopiga katika Usiku wa Heart & Soul akifanya mambo yake.
Furaha pindi wadau wanapokutana.
 Mdau Othman Michuzi (kulia) na marafiki wengine nao hawakutaka kukutukipwa ya Usiku wa Heart & Soul ndani ya kiota pendwa cha Raphsody, Jengo la Viva Towers katikati ya Jiji la Dar.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...