https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, August 06, 2015

Zoezi la uandikishaji wapiga kura BVR lakamilika

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kukamilika kwa zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura katika Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa BVR Mkoani Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani zoezi hilio limefanikiwa kwa kiasi kikubwa licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali zilizojitokeza.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...