https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, August 25, 2015

Onesmo Ngowi ampa tafu ya vifaa vya masumbwi bondia Lulu Kayage

Rais wa I.B.F Africa Onesmo Ngowi kulia akimkabidhi vifaa vya mchezo wa ndondi bondia Lulu Kayage baada ya kutembelea ofisi za rais huyo zilizopo posta Dar es salaam Lulu Kayage ataondoka nchini kuelekea Afrika ya kusini kwa ajili ya mchezo wake mwingine kabla ya kugombania ubingwa wa I.B.F Afrika mnamo Desemba 2 mwaka huu.

Rais wa I.B.F Africa Onesmo Ngowi wa pili kulia akiwa na bondia Lulu Kayage wa pili kushoto kulia ni George Sabuni na kushoto ni Hamisi Berege.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...