https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, August 30, 2015

Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuweka hadharani majina ya wapiga kura Visiwani Zanzibar Septemba 3 hadi 7

Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura katika Mikoa yote ya Unguja na Pemba kuanzia tarehe 03/09/2015 hadi tarehe 07/09/2015 ili Umma uweze kupata nafasi ya kulikagua Daftari la Awali na kutoa taarifa za kufanyiwa marekebisho pale inapostahili.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...