https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, August 27, 2015

Bondia wa kike wa Tanzania Lulu Kayage akwea pipa tena kumfuata Lizberth Afrika Kusini


BONDIA wa Kike Lulu Kayage pichani, ameenda tena nchini Afrika ya Kusini kwa ajili ya mpambano wake mwingine na bondia mwingine kutoka uko utakaofanyika Agosti 28 nchini Afrika ya Kusini.

Akizungumza kabla ya kupanda ndege bondia huyo alijigamba kuwa ataenda huko na atashinda kwa kuwa yupo fiti zaidi kwa sasa, hivyo ataendeleza wimbi la ushindi sambamba na duwa kwa Watanzania wamuombee ili aweze kumchakaza mpinzani wake Lizbeth Sivhag.

Na Mwandishi Wetu

Bondia huyo aliyeambatana na bondia mkongwe wa siku nyingi George Sabuni kwa ajili ya kumkumbusha mambo mbalimbali awapo ulingoni.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...