https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, July 15, 2016

Matokeo ya kidato cha sita, wilaya ya Handeni yaonyesha matumaini

Katika hali ya kufurahisha, wakazi na wananchi wa wilaya ya Handeni wamepata mwangaza wa elimu, baada ya shule yao ya Handeni Secondary School kujitahidi katika shule za sekondari za mkoa wa Tanga zilizofanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita.
Ingia hapa kuyaona matokeo yote na shule zote
www.necta.go.tz
YOTE UTAYAPATA KWA KUBONYEZA LINK

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...