https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, July 15, 2016

Chipukizi wa Bongo Fleva kutoka Mwanza apania makubwa

Kutana na kijana Biela Alex kutoka Mtaa wa Mji Mwema Mkudi, Kata ya Isamilo Jijini Mwanza. Anasema yeye ni staa wa mtaa wao na ndoto yake kubwa kwa sasa ni kuwa staa mkubwa wa muziki na maigizo kimataifa zaidi.

Hadi sasa hajui namna ya kutimiza ndoto yake hiyo. Ni vyema pia ukampa ushauri namna ya kufanya ili awe staa katika sanaa kama ilivyo ndoto yake kubwa.

Bonyeza HAPA Kusikiliza. Au Bonyeza Play Hapa Chini.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...