https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, September 30, 2011

Sinta kubali mama weeee, ehee





 Sinta akiwa katika pozi bomba mbayaaaaaaaaaa. Huyu kweli ni malkia na anastahili kuitwa mrembo.
Chini ni ujumbe wake mzito kwa mashabiki wake wooote kwenye mtandao wa facebook na yaliyofuata ni maoni na ushauri wa marafiki zake haooo.

Kikweli handenikwetu.blogsport.com inatamani kuona wawili hao wanacheza movie hiyo ambayo kwa mujibu wa meneja wa Sinta, Richard Mathew, wawili hao wanaelekea makubaliano.

Christine Sintah
hi Sintah's fans,baada ya miaka 9 siongei na hatupikiki chungu kimoja na Nature unafikiri, ninaweza kusamehe yaliyotokea na kufanya nae kazi ya movie na ikaenda platinum?pse comment KISTAARABU
LikeUnlike · · Wednesday at 7:41am via BlackBerry · Privacy:Shared with: Christine's friends

     
            Emilian Lyimo samehe mtoto mbona hata mm ulinisamehe tupilia mbali issue tofauti
            Wednesday at 9:17am · LikeUnlike
            Mary Misoji Ng'oboko Kusamehe ni muhimu mamy katika maisha maana kwanza utakua umeutua mzigo fulani mkubwa moyoni... hata maandiko ya mungu yanatusisitiza msamaha....Kama ni kazi tu fanyeni ila ule ukaribu kama zamani usiwepo... ukaribu wenu ni wakati wa kazi t

            Wednesday at 9:17am · LikeUnlike
            Martin Josephat Kwanza mtakapo fanikiwa ukiigiza hiyo Movie mtakuwa mmewasaidia wale wote ambao wanavibifu visivyo na maana na kujiona wanachofanya ni ujinga tu na mwisho wa siku wenda mambo kama hayo yakapungua na kama si kuisha kaisa!
            Wednesday at 9:21am · LikeUnlike · 1 personLoading...

            Fadhil Ally
            SINTAH samehe kama binadam na sio sababu ya mapenzi au kazi coz kama mapenzi yalishakufa na kama makosa wote mlifanya n kumbuka NATURE ni celebrity than you, so swala kusameheana ni swala la kibinadam na sio u celebrity, mapenzi au ela, bad...o ujamaliza maisha u never know what wil happen 2mr...... Sisi wazawa wa TEMEKE atuna kinyogo coz tupo fasta kusahau na kusamehe, so NAAMINI nature ashasamehe yupo busy na kazi zake kama ulivyo wewe, achana na washamba wa maisha wanaokupa mawazo ya kitoto waambie sijui nini kesho kitatokea mbele then watajua binadam ni nani,See More
            Wednesday at 9:21am · LikeUnlike

            Verdiana Mathias Mimi nafikiri msamaha wa kwl unatoka ndani ya nafsi ya m2,haitaji mawazo ya wa2 wa pembeni,jee km wa2 wote wakisema ucmsamehe so hutomsamehe?lbd uliza km jee ufanye nae kazi,lkn dini ye2 inasema samehe 7mara70 hamna mkamilifu duniani
            Wednesday at 9:22am · LikeUnlike

            Nelson Karabwe Mie nadhani hilo niwazo zuri sana Sinta.Kweli kusamehe ni jambo muhim sana kusamehe jambo jema Sinta,MPE ISSUE BRO.Wala sikosa kuuliza wadau kwani humu ndani sio tangazo kama gazetini.
            Wednesday at 9:23am · LikeUnlike

            Idd Minani Hey sinta forgive and forget there u will release ur self from anger and strases dont try to rise the dead u have to let it go
            Wednesday at 9:29am · LikeUnlike

            Olivia Sanare-mwanaharakati Hehehehehe siku ya kwanza kukutana nae alikuja kwetu usikuuu,HAKUNA KUMSAMEHE ANATAFUTA PAKUANDIKIA MISTARI MINGINE TWIN HANA NYIMBO CKU HIZI.
            Wednesday at 9:31am · LikeUnlike · 1 personLoading...

            Sarah Albert Sintah dear samehe ufanye kazi, yaliyopita c ndwele mama
            Wednesday at 9:34am · LikeUnlike

            Bobson'dozen Julius itapendeza sana coz mlikua mnapendezana sana akuna mahusiano yaliyotokea kupendwa kama yenu coz yalikua ya kwanza ya msanii kudat na msanii
            Wednesday at 9:36am · LikeUnlike
 

         Kaka Ommy kama kuna aliekushauri juu ya hili mpe pongezi sana na kama ni akili zako ongera nyingi,ilo ni la kulifanyia kazi mazima sio mda wa mabiifu huu ni amani na kusaka hela tu
            Wednesday at 9:40am · LikeUnlike · 2 peopleLoading...

            Vicent Mgunda Igosha Huwezi jua kesho wenda akaoa mtoto wako samehe tu ilikuwa utoto sintah
            Wednesday at 9:47am · LikeUnlike

            Okot P'Bitek iTAKUWA POA SANA CAUSE KILA M2 ATAMUHESHIM MWENZIE SAHAU FANYA KAZ YALIYOPITA YAMEPITA!
            Wednesday at 9:52am · LikeUnlike

            Aysha Nyange Kiukwe sintah mi cdhani km cns dat tym mpk leo huongei nae kunachochote kimekuathir au laah' bc jua ht ukimsamehe it will b da same nothing change.. Ckiliza moyo wako zn fanya maamuz my dia.. Wt evr ur decition is' it will b u mamaa....
            Wednesday at 9:56am · LikeUnlike

            Bakari Hemed km uwez kusamehe itakua ngumu kupata msamaa, jifunze kupitisha msamaa km maji kwenye mto.
            Wednesday at 10:15am · LikeUnlike

            Faraji Said Kemea pepo lakinyongo linalokusumbua.
            Wednesday at 10:16am · LikeUnlike

            Chris Kaoneka Mjomba Oliver Nakumbuka the First time huo wimbo unapigwa Nilikuwa na Mjomba Tina kwenye Gari alilia sana...! Venture alimtumia sms akamwambia kuna wimbo sikiliza...! Umenikumbusha Mbali sana...! Hahaha...! Tinah Samehe tu Mjomba...! Yameisha fanya kazi iwe tu ina hela ndefu...!
            Wednesday at 10:20am · LikeUnlike

            Samson Simbeye jaman kuna gazeti1 la udaku limetoka leo lasema kwamba hao watu now wapo pamoja na tofauti zao zimeshaisha so tueleweje?
            Wednesday at 10:25am · LikeUnlike

            Saida Salum My dear just follow your heart.
            Wednesday at 10:28am · LikeUnlike

            Ezekiel Noah Leo tumia status hii kujua maadui zako na ambao hawakutakii mema,utaona wanafiki wote wasiokupenda watakwambia usimsamehe na kukumbushia machungu achana nao kwani hata huku kwetu wapo wapotezee. samehe fanya kazi na Kibra itakujengea heshima na utaonekana umekomaa!hebu angalia comment za fans wengi wanapenda umsamehe nina imani utafanya hivyo.
            Wednesday at 10:31am · LikeUnlike

            Jacqueline Mwibule samehe my dia km Mungu husamehe kwanini wewe????wala hakukupunguzii kitu bali kinakuongezea amani zaidi...so u shld 4get..
            Wednesday at 10:38am · LikeUnlike

            Adam Tibaigana Sinta kumbuka kila Binadamu ana mapungufu yake na pia Binadamu tumeumbwa kusahau mfano Sinta ukienda kilioni ukakuta mtu aliefiwa na mama yake anavyolia na khali aliyonayo kwa mawazo ya halaka huwezi amini kuwa mtu huyo ipo siku atakuja kusahau nakucheka. Hivyo sahau yaliyopita kwani kumbuka wakati yanatokea yale fikiria na umri muliokuwa nao ujana ndo ulichukua nafasi yake. SINTA FANYA KAZI NAE SAHAU YALIYOPITA.
            Wednesday at 10:44am · LikeUnlike

            Emmanuel Kimori Msamehe sintah,maandiko yanarema samehe mara 70,wewe msamehe bure. Mungu ndie wa kukulipa wewe kwa msamaha utakaoutoa c binaadamu.
            Wednesday at 11:00am · LikeUnlike

            Johari Luwembas Madua ndio kwa nini usiweze kusamehe ni dalili ya uungwana dadito
            Wednesday at 11:15am · LikeUnlike

            Ruben Mwakilima A
            Kama ni siku njema basi imefika maana HIYO NDIO KAULI NZURI ZAIDI KUISKIA IKIMAANISHA MUDA WA MABADILIKO, TIME TO CHANGE BECAUSE HAKUNA ADUI WA MILELE NA HAKUNA BINGWA WA MILELE NA HAKUNA ASIYE SAMEHE MILELE NA HAKUNA ASIYEKOSEA MILELE.... ...u nani usitake samehe? Mangapi UMEKOSEA MPAKA LEO KWA WENZIO NA BINADAMU YOYOTE? Wakati huu dada PESA NA UTU PAMOJA NA UBINADAMU MBELE... fanya Kazi NAYE (NATURE) na HEBU KAA NAYE OBE TABLE ONE SEAT NA MSHIKE MKONO ILI KAZI IWE POUA INGAWAJE USIFANYE AKAZANI UMEJIPENDEKEZA ILA MAELEWANO NA MAKUBALIANO MAANA NASI WABONGO HATUNA DOGO.... DHAMBI PIA KAMA UNAMCHUKIA MTU KWA MUDA MREFU SANA.... rudisha kiwango kwa UBAO MPYAAA MAANA PIA ITAUZA SANA HIYO... ujue ukweli ukimpenda sana DADAA AKAKUACHA "INAUMA SANA" alf Kama MZURI NDIO LAAAAAAAAAH ,WE JIANGALIE UTAGUNDUA ROHO INAUMAJE,LOVE HEALS ALSO... not only FOR PARTNERS BUT LOVE FOR ALL HEALSSee More
            Wednesday at 11:23am · LikeUnlike

            Mgaza Kossey kiukweli muda ule uliopita ulikuwa unaboa kila siku sinta sinta...may be unaweza kuanza upya na watu wakakupa shavu kiaina tofauti na zamani...jaribu kuanza upya hujachelewa!!
            Wednesday at 11:37am · LikeUnlike

            Fadhil Ally Uliyoyataka yameshaandikwa kwenye gazeti tayari, @sintah
            Wednesday at 11:41am · LikeUnlike

            Fadhil Ally Uliyoyataka yameshaandikwa kwenye gazeti tayari, @sintah
            Wednesday at 11:41am · LikeUnlike

            Fadhil Ally Uliyoyataka yameshaandikwa kwenye gazeti tayari, @sintah

            Isha Salum yaah....inawezekana mamtooo..ilikua zaman na sio ss.yaliyopita c ndwele angalien ya mbele..but kikaz tu. na c vingnevyo..sawasawa
            Wednesday at 11:45am · LikeUnlike

            Fadhil Ally Uliyoyataka yameshaandikwa kwenye gazeti tayari, @sintah
            Wednesday at 12:13pm · LikeUnlike

            Pamela Betabula mpz samehe yaliyopita kwanza hope umeshasahau yote maana ni muda sasa unajua ukisameheana na mtu unakuwa na amani sana fanya hiyo movie mpz itauza kishenzi
            Wednesday at 12:55pm · LikeUnlike · 1 personLoading...

            Leah Mafwenga uwiiii umenkumbusha mbali sana Christine Sintah jamani Rozana mhh angalia moyo wako unakuambia nini coz kusamehe kupo wangu
            Wednesday at 1:15pm · LikeUnlike

            Moses Killagane Dah yani nimekumbuka mbali sana enzi za SITAKI DEMU na INANIUMA SANA oooh my god.....heshimu maamuzi ya moyo wako si kuamua watakavyo watu wakati bado unaunia@sintah.
            Wednesday at 1:29pm · LikeUnlike

            Nancy Frank Samehe mara saba sabini kwani yule kaua itakua vizuri na utakua umefanya jambo la mbolea
            Wednesday at 2:00pm · LikeUnlike

            Sharifa Shafii ‎4gv and 4gt
            Wednesday at 2:12pm · LikeUnlike

            Albert Mganga Fanya kazi we mtoto achana na hizo maki2 coz deal kusaka mahela
            Wednesday at 2:32pm · LikeUnlike

            Albert Mganga Fanya kazi we mtoto achana na hizo maki2 coz deal kusaka mahela
            Wednesday at 2:45pm · LikeUnlike

            Kanju Ally mbona itakuwa full lmaisha nikusameheana tu na maisha mengine yanaendelea,hiyo k2 itabamba niaje me mwenywe lazima niitafute ni watch hiyo movie.
            Wednesday at 3:34pm · LikeUnlike

            Aniceth Tryphone Ngaiza Ynwa Yap unaweza nyote mmeshakua sasa mnajua nn kilitokea
            Wednesday at 4:29pm · LikeUnlike

            Sweetlips Bigkiss Sinta nakuomba ucheze hiyo movie kwani mimi ndiyo mmoja wapo wa watu tulioshirikiana na LAMATA kutoa mawazo hayo ya wewe kucheza movie na J. NATURE. N a mm ndiyo Location Manager wenu.
            Wednesday at 5:29pm · LikeUnlike

            Mwajuma Ndege Du hii kari nimekumbuka mbali sana tina but sshv umekua mamy yaliopita sindwele tugange yajayo itakua bomba wangu fanya kweli mdogo wangu mungu atakusimamia
            Wednesday at 5:40pm · LikeUnlike

            Lema Peter samehe tu yaliyopita si ndwele ganga yanayokuja
            Wednesday at 6:47pm · LikeUnlike

            Idd Minani
            Just let it go sinter have life countinue and move one with ur life never let past hold ur future people came to u and live u because his not joine in to ur body u must let him go and free ur mynd sinter his not part of ur body paty and it... ease to forgert abou him forgive and dont forget what hapen because that is memory ever single human have memory to remember if is good or bad that is how is it and that is fact u wont change See More
            Wednesday at 9:39pm · LikeUnlike

            George Kidubo what for bana hzo story za kzaman fanya ishu zngine za ukwel
            Wednesday at 9:48pm · LikeUnlike

            Kambi Mbwana Hakuna tatizo juu ya hilo, hivyo mnaweza kufanya kazi bila wasiwasi wowote.Naamini itakuwa ni film nzuri kupita kiasi, czwote mna vipaji na idadi kubwa ya mashabiki Tanzania. Sameheaneni, maana ndio ubinadamu huo.
            Wednesday at 11:08pm · LikeUnlike

            Leticia Thomas Pole mamii yaliyopita yamepita sahau fanya kazi
            Yesterday at 2:38am · LikeUnlike

            Leticia Thomas Pole mamii yaliyopita yamepita sahau fanya kazi
            Yesterday at 2:39am · LikeUnlike

            Irene Mkwizu Inawezekana kabisa my dear. Msamehe bure.
            Yesterday at 10:26am · LikeUnlike
          .
            Geko Jackson Kama kweli mkifanya kazi pamoja,hiyo movie ita hit sana bongo kwa sababu uhalisia utakuwepo
            4 minutes ago · Like

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...