https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Thursday, December 29, 2016

Rais Magufuli ashiriki msiba wa mzee maarufu Chato

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole   Bi Mugwe Mbabe ambaye ni Mke mkubwa wa Marehemu Mzee Maarufu Admirabilis Mbabe Manyama(82) mara baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Bi. Regina Mbabe mke mdogo wa Marehemu Mzee Maarufu Admirabilis Mbabe (82) Manyama mara baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Chato mkoani Geita. Picha kwa hisani ya IKULU

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...