https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, December 11, 2016

Rais Dr Magufuli aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar es Salaam


Picha namba 3. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Picha namba 1. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kabla ya kuanza kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM jijini Dar es Salaam. 

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...