https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Saturday, January 09, 2016

Kituo cha Alafa wilayani Temeke watoa huduma za afya Darul Arqam Childrens Home Tandika

Muhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha Alafa kilichopo wilaya ya Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukua vipimo vya damu ya mtoto Raban Mansur wakati alipotembelea Kituo cha watoto yatima cha Darul-Arqam Childrens Home kilichopo Tandika Magorofani kwa ajili ya kuwapima afya watoto wanao lelewa katika kituo hicho
Muhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo wilaya ta Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukua vipimo vya damu kwa mtoto Abdulatif Said kwa ajili ya kujua afya yake kushoto ni Hamis Rajabu wakati alipotembelea kituo cha watoto yatima cha Darul-Arqam Childrens Home kilichopo tandika magorofani kwa ajili ya kuwapima afya watoto wanao lelewa katika kituo hicho

Muhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha Alafa kilichopo wilaya ta Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukuwa vipimo.

 Muhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo wilaya ta Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukuwa vipimo vya damu kwa mtoto Aman Ramadhani kwa ajili ya vipimo wakati alipotembelea kituo cha watoto yatima cha Darul-Arqam Childrens Home kilichopo tandika magorofani kwa ajili ya kuwapima afya watoto wanao lelewa katika kituo hicho.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...