https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, January 03, 2016

Bondia Francis Cheka kukwaana na Ajetovic Februari 27

Promota Juma Msangi kushoto akiwa na Rais wa oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi' na Meneja msaidizi wa bondia  Faransic Cheka  wakitambulisha mpambano wa bondia Cheka wa Tanzania, dhidi ya Muingereza, Ajetovic, mbele ya waandishi wa habari mpambano utakaofanyika februari 27 katika Uwanja wa Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Picha zote na SUPER D.
 Promota Juma Msangi kushoto akiwa na Rais wa oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi' na Meneja msaidizi wa bondia  Faransic Cheka  wakitambulisha mpambano wa bondia huyo mbele ya waandishi wa habari. Pambano hilo litafanyika Februari 27 katika Uwanja wa Leaders Club, jijini Dar es Salaam.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...