https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, June 19, 2015

Zambia na Tanzania zaingia makubaliano ya kurahisisha uchukuzi wa mizigo na abiria

Waziri wa Fedha wa Tanzania, Bi Saada Mkuya, na Waziri wa Uchukuzi, Ujenzi na Mawasiliano wa Zambia, Yamfwa Mukanga wakisaini hati ya makubaliano ya kurahisisha uchukuzi wa mizigo na abiria katika nchi hizo mbili, , leo mchana katika ukumbi wa St Gasper mjini Dodoma huku wakishuhudiwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha Tanzania, Adam Malima( wa kwanza kulia waliokaa), Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Servacius Likwelile (wa tatu kutoka kulia waliosimama), Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (wa pili kutoka kulia waliosimama) na wataalam kutoka Tanzania na Zambia.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...