https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, June 19, 2015

Makamu wa Rais, Dkt Bilal aagana na Balozi wa Palestina aliyemaliza muda wake nchini Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasir Abu Jaish, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 19, 2015 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini. Picha na OMR

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...