https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Monday, August 08, 2016

Tigo nao watamba maonyesho ya nane nane





Meneja wa Masoko wa Kanda ya Ziwa wa Tigo Ali Mashauri,akimpatia zawadi ya kanga makazia wa Kishiri jijini Mwanza Grace Sweetbert kwenye viwanja vya Nanenane Nyamhongoro baada ya kununua simu an kushinda zawadi.
Wakazi wa mkoa wa Mwanza wakiwa kwenye banda la tigo katika viwanja vya nanenane Nyamhongoro.


Mtaalam wa huduma kwa wateja wa tigo Mussa Timoth,akiwapa maelezo ya simu wateja waliofika kwenye banda la Nanenane Nyamhongoro Mkoani Mwanza.


Meneja wa Masoko wa Kanda ya Ziwa wa Tigo Ali Mashauri,akimpatia zawadi ya kanga makazia wa Ilemela Mwanza Lailat Komba kwenye viwanja vya Nanenane Nyamhongoro baada ya kununua simu an kushinda zawadi.

Wateja wa simu wakiziangalia wakati wakinunua kwenye banda la Tigo la maonyesho ya Nanenane eneo ma Nyamhongoro.

Wakazi wa mkoa wa Mwanza wakiwa kwenye banda la tigo katika viwanja vya nanenane Nyamhongoro

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...