https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, August 07, 2016

Mshindi wa Airtel Trace Music azungumza na vijana Mwanza

Star wa Airtel Trace Music 2015, Mayunga Andrew Nalimi-MAYUNGA, akizungumza na #BMG kuhusiana na project yake ambayo anaifanya na star M-Rap.
Na George Binagi-GB Pazzo

Project inaitwa Across Lovers and Friend Music Tour ambayo Mayunga anaitumia kukutana na mashabiki zake na kuwapa burudani ikizingatiwa tangu atoke Marekani hakuwahi kufanya tour kama hiyo kwa ajili ya mashabiki zake.

Mayunga amesema Project hiyo imeanzia Mwanza na itaendelea katika mikoa mingine na hata nje ya nchi kama vile Kenya, Uganda, Malawi na Afrika Kusini.
Usiku huu anapiga show Jembe Beach Jijini Mwanza.


Awali Mayunga pamoja na M-Rap kwa kushirikiana na Star Foundation na Kwanza Online na timu nzima ya Trace Music, waliweza kukutana na vijana Jijini Mwanza kwa ajili ya kuzungumza nao kuwahamasisha kutumia vipaji vyao ili kujikwamua kimaisha.
Mayunga akizungumza na BMG
Stella Mutta ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Star Foundation ya Jijini Mwanza, akizungumza na BMG
Petro Malongo ambaye ni mmoja wa Vijana waliohudhuria Inspiration Event ya hii leo
Mkurugenzi wa Star Foundation akizungumza na Vijana Jijini Mwanza
Mmoja wa viongozi wa Star Foundation akizungumza na Vijana Jijini Mwanza
Baadhi ya Viajana Jijini Mwanza waliohudhuria event hiyo
Mkurugenzi wa Star Foundation
Mayunga (Kushoto) na M-Rap (Kulia)
Vijana katika picha ya pamoja
Picha ya pamoja
GB (L) with Mayunga (R).


No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...