https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Monday, July 06, 2015

Global Education Link yapongezwa na wazazi


Mkurugenzi wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Abdulmalik Mollel akiongea na Mwanafunzi ambae aliambatana na wazazi wake (kulia) kupata huduma ya vyuo vya nje ya nchi katika ofisi yao iliyopo ndani ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Bw. Sourabh Chaudhary ambaye Meneja Miradi wa Chuo Kikuu cha Lovely cha nchini India na
Afisa Masoko wa GEL, Bi. Regina Lema. 
Picha zote na Cathbert Kajuna
Mkurugenzi wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Abdulmalik Mollel akiongea na wanafunzi ambao waliambatana na wazazi wao (kulia) kupata huduma ya vyuo vya nje ya nchi katika ofisi yao iliyopo ndani ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Mejena Miradi wa Chuo Kikuu cha Lovely cha nchini India, Bw. Sourabh Chaudhary akitoa ufafanuzi wa kina juu ya huduma zinazotolewa na chuo chao.
 
Afisa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bi. Regina Lema akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Msimamizi wa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Haroun Weggoro akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bi. Jacquline Mbise akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Afisa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Makungu Joseph akiwa na Mhasibu wa GEL, Bw. Ramadhani Ngereza wakiwasikiliza wateja waliohudhuria katika ofisi yao iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Kanda wa Chuo Kikuu cha Sharda cha nchini India, Bw. Deepak Kaushik akitoa maelezo machache kwa wateja waliotembelea ofisi za GEL zilizopo ndani ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Meneja Miradi wa Chuo Kikuu cha Lovely Professional cha Nchini India, Bw. Gulshan Sandhu akiongea na Principal Academic Officer wa Chuo cha IFM cha jijini Dar es Salaam mara baada ya kukutana nae ndani ya ofisi za GEL zilizopo ndani ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Afisa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bi. Saada Selemani akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Afisa anayeshughulikia Pasipoti na Visa kwa wanafunzi wanaosafiri nje ya nchi, Bw. Emmanuel Mbena akimsimamia mmoja ya wanafunzi kujaza fomu  kwa ajili ya maombi ya kupata pasipoti ili aweze kusafiki kwenda masomoni.
 Secretary wa GEL, Bi. Zamda Mwinyiheri akiwapokea wageni na kuwapa kitabu cha kujiandikisha wageni waliotembelea ofisi zao zilizopo ndani ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Mhasibu wa GEL, Bw. Ramadhani Ngeleza akimuelezea mteja wanavyotoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya nje katika ofisi yao iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Wageni wakitoka ndani ya ofisi za GEL zilizopo ndani ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
---
Wazazi na wanafunzi waliotembelea Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi wamefurahishwa na huduma zao wa kuwapatia vyuo bora vilivyokidhi viwango vya kimataifa.

Akizungumza mmoja ya wazazi mara baada ya kufika ofisi za GEL zilizopo ndani ya maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wamesema wamefurahishwa na mapokezi ikiwemo vijana wenye kujituma kutoa huduma bora zinazomfanya mzazi anayefika na mtoto wake apate maelezo ya kina.

"Nikiwa kama mzazi niliyefika GEL kujipatia huduma ya chuo kikuu cha nje ya nchi, nimefurahishwa na huduma wanazotoa kwa vile zinakidhi viwango vya kimataifa zinamfanya mzazi anapotoa atambue mwanae pindi anapomaliza shule ya sekondari asome nini," Alisema mmoja ya wazazi aliyefika.

Mzazi huyo aliongeza kuwa wakati akifika ofisi hizo hakuwa anajua mwanae asome nini atakapomaliza shule ya sekondari ilia baada ya kufika ametoka na mawazo mapya yatakavyomjengea uwezo mwanae afanye vizuri zaidi.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...