https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Wednesday, March 16, 2016

Mtandao wa tigo wazindua 4g kwa mbwembwe jijini Mwanza


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe  Joseph Mkirikiti (katikati), Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula (kulia), Mbunge wa Ilemela Angelina Mabula (wa pili kuhoto), Mkuu wa Kitengo cha Biashara Olivier Prentout (kushoto) na  Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Maswanya (wa pili kulia) wakipiga ngoma ikiwa ni ishara ya  uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza.
Wageni waalikwa wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza,wakibadilisha line zao ili wapate zinazoweza kuendana na kasi hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe  Joseph Mkirikiti(kulia),Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula(katikati) na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Maswanya,wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza.
Wageni waalikwa wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza,wakinunua Modem  za 4G,ambapo ziliuzwa kwa punguzo la bei.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...