https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Wednesday, March 30, 2016

Izzo Bizness akamua balaa jijini Mbeya

Msanii Emmanuel Simwinga maarufu “ Izzo Bizness “ akitumbuiza kwenye tamasha la pasaka la home sweet home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya jumapili iliyopita.


 Izzo Bizness  akishow love kwa mashabiki zake tamasha la pasaka la home Sweet Home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya jumapili iliyopita.

Mamia ya mashabiki wakifurahia burudani toka kwa Izzo  Bizness

Yani ilikuwa shangwe wakati Izzo Bizness akitumbuiza jukwaani kwenye  tamasha la pasaka la home sweet home lililodhaminiwa Tigo jijini Mbeya jumapili iliyopita.
.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...