https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Friday, January 30, 2015

Friends Rangers yapoteza mechi kwa kugoma

Mechi namba 120 ya Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kundi A kati ya Majimaji na Friends Rangers iliyochezwa jana (Januari 29 mwaka huu) Uwanja wa Majimaji mjini Songea ilivunjika dakika ya 38 baada ya Friends Rangers kugoma kuendelea na mchezo.

Kwa kitendo hicho, Friends Rangers imepoteza mchezo huo. Hatua nyingine za kikanuni zitafuata baada ya kamati inayohusika kukutana.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...