https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Tuesday, October 13, 2015

Picha mbalimbali za Mdahalo wa Amani, Umoja na Haki jijini Dar es Salaam

Mtoamada katika Mdahalo kuhusu Amani, Umoja na Haki Tanzania, Bw. Humphrey Polepole akielezea mawazo yake mbele ya washiriki katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam jana nyuma ni Balozi Getrude Mongela. Mdahalo huo uliorushwa moja kwa moja na Kituo cha Televisheni cha ITV. Picha na Said Ng’amilo.
Washiriki waliohudhuria katika mdahalo kuhusu Amani Umoja na Haki uliofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam jana.
Mwendesha mdahalo.
Watoto waliohudhuria katika katika Mdahalo kuhusu Amani Umoja na Haki.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...