https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, October 18, 2015

Makamu wa Rais Dkt. Bilal aweka jiwe la Msingi ujenzi wa vituo vya mradi wa mapumziko na vyoo vya wasafiriI katika barabara Kuu, kijiji cha Idetero,Mufindi, mkoani Iringa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Idetero Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa, wakati wa hafla ya uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Vituo vya Mapumziko na Vyoo vya Wasafiri katika Barabara Kuu nchini, jana Okt 17, 2015. Picha na OMR
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mgimwa, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais Dkt. Bilal, kuhutubia wananchi wa Kijiji cha Idetero Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa, wakati wa hafla ya uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Vituo vya Mapumziko na Vyoo vya Wasafiri katika Barabara Kuu nchini, jana Okt 17, 2015. Picha na OMR

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...