https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, January 29, 2017

Treni ya Kigoma yapata ajali

By Staff wa TRL
Leo saa 9:40 alasiri treni yetu ya Deluxe ilipokuwa ikirejea Dar kutoka Kigoma imepata ajali kati ya vituo vya Ruvu na Ngeta ambapo mabehewa 9 yamepata ajali . Kati ya hayo manne yameanguka, mawili yametenguka na matatu yameacha njia..

Imeripotiwa watu kadhaa wamepata majeraha mepesi isipokuwa mmoja ndiye aliyepata majeraha makubwa.amekimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi. Hizi ni taarifa za awali..baada ya Kikosi cha uokoaji kikimaliza kazi ya kuinua mabehewa ndio taarifa ya Wahanga itakamilika! 

Wakati taarifa hii ikipatikana Waziri wa Sekta Profesa Mbarawa. Mkuu wa TRL Ndugu Kagosa Kamanda Kikosi cha Polisi Reli Mhandisi Chillery wako njia kuelekea katika eneo la ajali! . Sehemu ya treni ya Deluxe yenye mabehewa kumi iko njiani kuja Dar es Salaam inatarajiwa kufika saa 2 usku.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...