https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, August 03, 2014

Habari za hivi punde, Michael Wambura afukuzwa uanachama wa klabu ya Simba



HATIMAE Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania FAT sasa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Michael Wambura, ametimuliwa kuwa mwanachama wa klabu ya Simba, kwa tuhuma za kuipeleka klabu yake mahakamani.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...