https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, April 24, 2016

Pigo: Gwiji wa muziki wa rhumba duniani, Papa Wemba afariki Dunia

Majonzi: Mwanamuziki maarufu anayejulikana kama Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba ama "Papa Wemba", wa nchini Kongo na muziki wake unaojulikana sehemu nyingi za Afrika na Dunia kwa ujumla, amefariki Dunia. Mwanamuziki huyo amefariki huku akiwa na miaka 66. Kifo cha gwiji huyo wa muziki wa dansi wa asili ni pigo kwa wadau, mashabiki wa muziki wa dansi.
Marehemu Papa Wemba, pichani enzi za uhai wake.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...