https://tpc.googlesyndication.com/simgad/8045142562622600543


Recent Post

Sunday, October 25, 2015

Kambi Mbwana akiwa kwenye foleni ya kupiga kura kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga

Mmiliki wa Mtandao huu na aliyekuwa mgombea ubunge katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kambi Mbwana, wa tatu kutoka kushoto, akiwa kwenye mstari wa upigaji wa kura katika Uchaguzi Mkuu, katika moja ya kituo kilichopo kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga leo Oktoba 25 kwa ajili ya kuchagua mbunge, diwani pamoja na rais. Picha kwa hisani ya group la HANDENI KWETU kwenye facebook.

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...